Thursday, March 15, 2007

chakula (msosi) / food

Msosi wa Kibongo / Tanzania food


chakula safi cha Kitanzania. Sahani ya wali mweupe. pembeni kuna chungu chenye maharage ya nazi, halafu chungu chenye bamia na nyanya chungu, halafu chungu cha kisamvu kilichoungwa kwa nazi! Yummmmyyyy... Do I make you hungry?
Wali = cooked rice
Maharage ya nazi = beans cooked with coconut milk
Bamia na nyanya chungu = Okra with bitter tomatoes.
Kisamvu = cassava leaves cooked with coconut milk
Picha kwa hisani ya Majjid Mjengwa Blog.

3 comments:

Anonymous said...

You really make me hungry!

Anonymous said...

Oh! man, I miss that, specially kisamvu (cassava leaves) and nyanya chungu (bitter tomatoes)

Anonymous said...

chakula chetu ni kitamu na kina ladha. Nasikia njaa nikiangalia hii picha.